Mkongwe wa Reggae toka Jamaica,Don McCarlos AKA Don Carlos (Muasisi wa BLACK UHURU) atashuka kwa Kibaki,Kenya kupiga show kadhaa,mwezi huu tarehe 29 na 30,katika tamasha litakaloitwa SAWASAWA na litafanyika kwenye viwanja vya Kasarani...Pia mtu mzima CMB Prezzo nae amepata shavu kusimama na Don Carlos.
WAZIRI JAFO AHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo amesema nishati safi ya kupikia inajumuisha mbinu zote
zinazomuwez...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,