Mchiz ambaye mwanzo alikuwa katika kundi la Gangwe Mob na baadaye kijiunga na kundi la TMK WANAUME kabla ya kusambaratika na kuhama na Juma Nature sasa na amesepa tena na hayupo tena na kundi hilo.
Sababu kubwa iliyomfanya Luten kusepa ni mkwanja anasema haoni faida ya kuwa na kundi kwa sababu hakuna chochote anacho kipata sasa imebidi afanye kazi mwenyewe labda mafanikio yatakuja kwa njia hiyo.
SOMALIA KUSHIRIKIANA NA MSD KWENYE MANUNUZI YA BIDHAA ZA AFYA NA
KUBADILISHANA UZOEFU
-
Rais wa Somalia Mheshimiwa Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua
kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa
bidhaa z...
3 hours ago