pia hakuwaacha bure wabongo amewaachia track yake ambayo iko ktk albam yake ya pili ya akili yangu track inaitwa kilio changu. kwasasa mbdog yuko ktka hatua za kumalizia albam yake ya tatu na soon atatambulisha singo yake mpya ambayo amemaliza kurekodi usiku wa kuamkia tar 25. mbdogg anaashukuru mashabik wake wote wanaomsapot ktk game.
Ma-DC, Ma-DAS NA Ma-DED WAHIMIZWA KUTENDA HAKI KUDUMISHA AMANI NA
MSHIKAMANO NCHINI
-
*Dkt. Biteko awataka kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa kuzingatia
sheria
*Amesema maamuzi yao yasiwe ya upendeleo
*Aelekeza kuandaa mkakati...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,