Mwanamuziki Moses Ssali a.k.a Bebe cool amefunguwa kesi ya madai kiasi cha shillingi millioni mia nane ya Uganda kama fidia. Bebe Cool pamoja na walinzi wake walipigwa risasi hivi karibuni baada ya kuzuka vurugu baina yao na polisi.
Msanii huyo amedai kuwa serikali ndio inawajibika kwa vitendo vya polisi hao. Madai hayo yameandikwa kuwa msanii huyo anategemea maonyesho yake kupata kipato chake na kwa kuwa inawezekana akakaa kitandani kwa muda wa miezi sita na zaidi anataka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia.
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment
,