.

Sunday, August 22, 2010

KIDEO CHA LINEX KINAGONGWA LEO..!!

Ni jamaa ambaye amelalamika sana kuhusu mama watoto wake anafahamika kwa jina la Mama Halima kuwa amemtenda sana na hakutegemea hilo kwa bi shosti huyo.

Mchiz anaitwa Linex ambaye ngoma yake ya Mama Halima inafanya vzr sana kwa sasa kwenye Radio station nyingi za hapa bongo.

Sasa mpango mzima ni kuwa kideo cha ngoma hiyo kinachapwa leo na mtu mzima JOHN KALLAGE na siku si nyingi kitaanza kuwa hewani kupitia EATV..

No comments:

Post a Comment

,