.

Tuesday, August 3, 2010

WATENGWA WAMKUMBUKA FAZA NELLY!

RIP NELSON CHRIZOSTOM BUCHARD AKA FAZA NELLY (1976-2006)

Kundi la Watengwa toka A-Town chini ya JCB wametoa audio na video ya kumkumbuka mwanaharakati na memba wa X-Plastaz,Faza Nelly ambaye alifariki 29 March 2006 kwa kuchomwa kisu Mkoani Arusha iitwayo "SITOWASAHAU MILELE"

Ndani ya ngoma hiyo pia wamekumbukwa wanaharakati kibao wa muziki wa Tanzania (REST IN PEACE..BROS & SISTAZ)

No comments:

Post a Comment

,