Baba mzazi wa mwanamuziki wa hip hop bongo, Quick Racka amefariki dunia jana usiku majira ya sanne kasoro katika hospitali ya TMJ ambapo alikuwa amelazwa hapo.
Kwa maelezo ya Quick anasema mzee wake Charlse Mbanda alikuwa anasumbuliwa na presha ya kushuka na ilibidi kupelekwa katika hospitali ya TMJ kwa ajili ya matibabu zaidi na ndipo mauti yalipo mfika.
Msiba upo mbezi ambapo ndugu watakuwa hapo kwa ajili ya kuomboleza na mazishi ya mzee wetu mpendwa yatakuwa siku ya jomamosi. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONIO AMIN.
KATIBU TAWALA SAME AONGOZA UPANDAJI MITI KUELEKEA KUSHEREHEKEA MIAKA 60 YA
MUUNGANO
-
Na Mwandishi Wetu,Same
KATIBU Tawala wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Upendo Wella amesema
katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano, Serikali ya Jamhur...
1 hour ago