Msanii nyota Bobi wine inasemekana amepoteza mamilioni ya fedha baada ya watu wasio julikana kumchomea hotel yake ambayo anatarajia kuizinduwa mwishoni mwa mwaka huu jijini kampala.
Watu hao walimuharibia baadhi ya maeneo ya hotel yake hiyo na pia kufanikiwa kuchoma sehemu ya kuuzia vinywaji aliyoipa jina la 'Kassim Ouma'.
WAZIRI JAFO AHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo amesema nishati safi ya kupikia inajumuisha mbinu zote
zinazomuwez...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
,