Unaweza kumuita Abraham Kasembe na kama itakupa tabu basi tumia jina hili Dullayo, mchizi ambaye hivi karibuni alichomwa kisu kwenye mkono wake wa kushoto na watu wasio julikana wakati akitoka katika ukumbia wa starehe.
Mchizi amesema kwa sasa ataendelea kukomaa na single mpaka pale soko la muziki litakapo kaa sawa, Dullayo amesema sababu ya kufanaya hivyo ni kutokana na kutokupata kitu katika albam yake ya kwanza ya IMANI.
BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA
-
*KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati
akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma
len...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
,