Ilifika zam ya k-sher kutoa hisia zake kwenye mic.
Dhumuni kubwa la kwenda kwa maneke ni kutengeza wimbo kwa ajili ya huu msiba na wimbo huo alifanya K - Sher, Hussein Mchozi pamoja, Tunda Man na mimi mwenyewe dazin kamaa nilihusika hivii.
Huyu ni Maneke producer ambaye ndiye aliyefanya hiyo kazi.
K-Sher na Maneke wakati wa kutengeneza wimbo huo.
Producer Maneke akitoa maelekezo jinsi ya kufanya
Tunda Man na Hussein Machozi wakiwa kwenye mazoezi mafupi kabla ya kuingiza sauti.
Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London
-
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa
kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la
Hisa l...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,