Leo ndio siku ambayo mtu mzima KIDUM atakinukisha pande za sinza katika club ya Sunn Cirro. Usiku wa leo utakamilika pale kwa kukutana na watu tofauti kutoka sehemu mbali mbali katika jiji hili la Bongo kingilio ni 15,000 kwa upande wa chini wa kawaida na 20,000 kwa upande wa pili wa V.I.P.
Leo asubuhi alikuja mzigoni kwa ajili ya kuongea na raia wa Africa Mashariki kuhusu show ya leo.
Hapa alikuwa anaongea na wana africa mashariki kupitia EATV leo asubuhi.
Hilo linaitwa gwala linawahusu wale wote amabo tutakutana paleeee... pande za sinza sunn cirro club.
Na ukafika wakati wa kuongea na wana africa mashariki kupitia East frica radio leo asubuhi.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment
,