Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
Hati Fungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London
-
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa
kwa kuiorodhesha Hati fungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la
Hisa l...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,