Mwanamuziki Moses Ssali a.k.a Bebe cool amefunguwa kesi ya madai kiasi cha shillingi millioni mia nane ya Uganda kama fidia. Bebe Cool pamoja na walinzi wake walipigwa risasi hivi karibuni baada ya kuzuka vurugu baina yao na polisi.
Msanii huyo amedai kuwa serikali ndio inawajibika kwa vitendo vya polisi hao. Madai hayo yameandikwa kuwa msanii huyo anategemea maonyesho yake kupata kipato chake na kwa kuwa inawezekana akakaa kitandani kwa muda wa miezi sita na zaidi anataka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia.
WATU 200 WAPIMA AFYA NA GGML KATIKA MAONESHO YA OSHA
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
WATU zaidi ya 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na Kampuni ya
Geita Gold Mining Limited (GGML) na kati yao kubainika ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,