.

Friday, February 12, 2010

MISHE ZA ZE COMEDY SEARCH...

Hawa ni baadhi ya vijana waliojitokeza, hapa wapo ndani kwa ajili ya kujiandaa kuonyesha uwezo wa katika kuchekesha.

Kwenye stage mchiz anawajibika... jukumu ni moja tu kuhakikisha kila kichwa kilichomo humo ndani kina cheka... duh... ilikuwa kazi...!!!

Humu ndani ndio vijana walionyesha uwezo wao.

Wana kutoka sehemu mbali mbali walikuja kujaribu bahati zao.

Kulikuwa na kazi ya kutowa maelezo, mtu unamwambia kitu cha ukweli yeye analeta comed dah... shughuli ilikuwa ngumu sana.

Hapa wanaelekea kwenye kujisajili kisha kusubiri kuingia ndani kuonyesha uwezo wao.





Hapa sasa ndio wanajisajili kabla ya kuingia ndani.

Moja kati ya washiriki akitowa maelezo wakati wa kujisajili.

Mchiz inabidi asome fom kwa umakini na baada ya kuelewa ndio ajaze.



Huyu mama anaitwa Asha Boko wengi mnamfahamu naye alikuwepo katika mchakato huu.

Hawa ni Sunche na Kapeto nao ndani.

Haya sasa.... si unamuona hapo Bambo na Kingwendu wakiwa katika foleni ya kwenda kuji sajili.

Huyu jamaa me alinifurahisha na hizo nywele zake duh..... kulikuwa na vituko sana.

Mpango mzima ulikuwa New World Cinema, ambapo vijana wengi sana walijitokeza kwa ajili ya kuonyesha uwezo wao katika fani ya uchekeshaji, EATV inarudisha tena kipindi cha Ze Comedy na huu ndio mchakato wa kutafuta watu ambao watafanya kipindi hiko.

3 comments:

  1. kazi mzuri kaka ili hao watu sasa kama mvua

    ReplyDelete
  2. Very nice men!Kazi ya ukweli hiyo,nimeipenda kweli!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Very nice men!Kazi ya ukweli hiyo,nimeipenda kweli!!!!!!!!

    ReplyDelete

,