.

Friday, February 12, 2010

UMESHAJUWA PAKWENDA MKESHA WA VALENTINE DAY....???? NI MZALENDO PUB HAKUNA KWINGINE.

Huu ni wakati wa kumonyesha mapenzi ya dhati yule unaye mpenda kwa kumfanyia mambo mengi mazuri moja wapo likiwa ni kumpeleka sehemu nzuri, tulivu na yenye burudani. Ushapafahamu ni wapi..??? ni MZALEND PUB ni jumamosi tarehe 13 usiku wa kuamkia Valentine day.

No comments:

Post a Comment

,