.

Wednesday, February 10, 2010

NGOMA YA WYRE NA COOZOS CLAN ON AIR.

Wimbo ambao msanii nyota wa Kenya Wyre ameshirikiana na kundi la Coozos Clan kutoka Sudan umeshatoka. Wimbo huo ambao ulirekodiwa mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa unafanya vizuri sana nchini Kenya, na kundi hilo kwa sasa lipo nchini humo kwa ajili ya kujitangaza.

No comments:

Post a Comment

,