Wimbo ambao msanii nyota wa Kenya Wyre ameshirikiana na kundi la Coozos Clan kutoka Sudan umeshatoka. Wimbo huo ambao ulirekodiwa mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa unafanya vizuri sana nchini Kenya, na kundi hilo kwa sasa lipo nchini humo kwa ajili ya kujitangaza.
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Nidhamu na Uzalendo
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, , amewataka wanafunzi wa sheria nchin...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment
,