Wimbo ambao msanii nyota wa Kenya Wyre ameshirikiana na kundi la Coozos Clan kutoka Sudan umeshatoka. Wimbo huo ambao ulirekodiwa mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa unafanya vizuri sana nchini Kenya, na kundi hilo kwa sasa lipo nchini humo kwa ajili ya kujitangaza.
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,