Wimbo ambao msanii nyota wa Kenya Wyre ameshirikiana na kundi la Coozos Clan kutoka Sudan umeshatoka. Wimbo huo ambao ulirekodiwa mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa unafanya vizuri sana nchini Kenya, na kundi hilo kwa sasa lipo nchini humo kwa ajili ya kujitangaza.
SADC YAHIMIZA MAGEUZI YA VIWANDA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA UKANDA
-
Na Ramadhani Kissimba, Durban
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezitaka nchi wanachama
kuongeza kasi ya utekelezaji wa ajenda ya maendeleo...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment
,