Wimbo ambao msanii nyota wa Kenya Wyre ameshirikiana na kundi la Coozos Clan kutoka Sudan umeshatoka. Wimbo huo ambao ulirekodiwa mwishoni mwa mwaka jana kwa sasa unafanya vizuri sana nchini Kenya, na kundi hilo kwa sasa lipo nchini humo kwa ajili ya kujitangaza.
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,