.

Wednesday, April 21, 2010

HAYA NDIO MAANDALIZI KABLA YA MAKAMUZ YA J MARTINS

Nyalifa akiongea na moja kati ya wafanya kazi wa Zain.

Washkaji wakiweka mambo sawa ili wananchi waweze kuona live mchakato mzima jinsi utakavyoenda

Mipango ikiendelea.

Hawa jamaa ndio watakao sababisha live ya ITV pamoja na EATV.

Washkaji kutoka EATV Ombeni na Dominic Nyalifa ndani.

Yuleeeeee.....!!! mchiz anafanya ustaarabu wa maswala ya taa.

Hii ndio stage itakayo husishwa na burudani.

No comments:

Post a Comment

,