.

Tuesday, April 27, 2010

TULIFIKA MWANZA SALAAMA NA MAKAMUZI YAKAENDELEA.

Maneger masoko kutoka Zain Kelvin Twiser akiwasili katika jiji la Mwanza tayari kwa kuwapa wananchi uhuru wa kuongea kupitia Zain

Hawa ni wafanya kazi wa Zain ambao walikuja kutopokea Airport.

Huu sasa ni usiku wa J Martins ndani ya Villa Park na hawa ni mashabiki wa J Martins... palikuwa patam sana..

Huyu ni Dj Maliss wa Kiss FM alikuwepo naye kuto ushirikiano.

Wakazi wa Mwanza walifaudu vilivyo ndani ya Villa Park na J Martins.

Dj Ad a.k.a Mafuvu akisema na wana kutoka Mwanza.

Time ikafika na J Martins akakwea kwenye stage...



J Martins kwenye stage...

No comments:

Post a Comment

,