.

Thursday, April 22, 2010

HUU NDIO UHURU WA KUONGEA KUTOKA ZAIN

Leo kitanukishwa Mwanza ndani ya Villa Park, kesho itakuwa Arusha viwanja vya Triple A na kesho kutwa yaani juma pili itakuwa Dar-es-salaam bata zitaliwa pale Billicanas.. UHURU UNAO SASA.

No comments:

Post a Comment

,