Inasemekana kuwa wasanii nyota nchini Uganda Juliana Kanyamozi na Iryn Namubiri wanatarajia kukamua katika ngoma moja inayo husu siku ya wapendanao, Valentines Day.
Wawili hao ambao walikuwa hawapatani siku za nyuma, inasemekana kuwa kwa sasa wanaongea na wanatarajia kurecord wimbo huo ambao umeandikwa na Hope Mukasa.
MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA - MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani,
ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini.
“Kama mnavyofahamu, michezo ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
,