Msanii nyota maunda zorro anaujauzito, bishosti huyo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu anatarajia kujifunguwa mwishoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu.
Hata hivyo maunda hajamuweka wazi kidume chenyee ujauzito huo, haya kila la kheri Maunda.
MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA - MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani,
ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini.
“Kama mnavyofahamu, michezo ...
11 hours ago
inapendeza sana Maunda that you are xpecting a baby soon and thats a truly womanhood,but r you ready to take care of your kid fully?make sure you kid is the centre of your universe,dont leave your kid for music never,by the way am xpecting mine June this year,BURHAN
ReplyDelete