Msanii nyota Tanzania, Banana Zorro amewaasa wasanii wenzake kuwa mwaka huu wa 2010, wajipange vilivyo ili walete vitu vipya kwa mashabiki wao.
Banana ameendelea kusema kuwa kwa sasa wasanii wanaotegemea waingie studio warekodi alafu mwisho wa siku waingie sokoni kuuza mwaka wa 2010 utakuwa mgumu sana kwao, kwa vile mazingira hayaonyeshi dalili yoyote ya mafanikio kwao.
HAYA SASA HUU NI WAKATI WA KUJIPANGA KWA WASANII WETU ILI KUTIMIZA MALENGO.
WAZIRI MKUU AKAGUA SHAMBA LA MKULIMA WA KAKAO, KYELA
-
Waziri Mkuu Kasssim Majaliwa leo Mei 12, 2024 ametembelea shamba la Mkulima
zao la Kakao Clement Msalangi lililopo kijiji cha Mababu, Wilayani Kyela
Mei 12...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,