.

Wednesday, July 14, 2010

BREAKING NEWS...ABUU FLAVA NINI TENA!!


Msanii Chipukizi wa Bongo Flava,Abuu Flava ameshitakiwa COSOTA na Mwanamuziki Diamond kwa kosa la kutoa wimbo wake wa Kafara ukiwa unafanana melody na ule wa Diamond,Mbagara.

Na jana ndio ilikua ni siku ya kutolewa hukumu japo Diamond hakufika hata siku moja kwenye kikao cha usuluhishi...na haya yalifikiwa...

1. COSOTA watatoa matangazo kwa FM Radio zote kupiga marufuku wimbo wa KAFARA usichezwe tena!

2.Itabidi Abuu Flavaa amlipe fidia msanii Diamond kama akitaka.

POLE MWANA BUT KAMA KUNA PRODUCER YOYOTE YUKO TAYARI KUMSAIDIA DOGO KIMUZIKI AWASILIANE NAE KWA No: 0652131651 KWANI ANA TALENT NA ANAWEZA KUFANYA VIZURI KWENYE GAME!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment

,