.

Tuesday, July 13, 2010

NAMELESS AZUSHIWA KIFO!

Habari zilisambaa jana kwenye mtandao wa Facebook kuwa Nameless amepata ajali mbaya ya gari Mombasa lakini habari za kuaminika zinasema mwana mzima wa afya na yuko Malindi akijiandaa kupiga show kadhaa...POLE JO!!!

No comments:

Post a Comment

,