Chameleone na Jacky walitupia ma-vocco Dreams Studio-nchini Uganda na kuyapeleka Jamaica na Beenie Man kumalizia mpango mzina na mzigo kwa sasa inapata shavu la kutosha kwenye redio nchini Uganda......................na kupitia EA Radio utaisikia kwa mara ya first!!!
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,