Chameleone na Jacky walitupia ma-vocco Dreams Studio-nchini Uganda na kuyapeleka Jamaica na Beenie Man kumalizia mpango mzina na mzigo kwa sasa inapata shavu la kutosha kwenye redio nchini Uganda......................na kupitia EA Radio utaisikia kwa mara ya first!!!
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,