Chameleone na Jacky walitupia ma-vocco Dreams Studio-nchini Uganda na kuyapeleka Jamaica na Beenie Man kumalizia mpango mzina na mzigo kwa sasa inapata shavu la kutosha kwenye redio nchini Uganda......................na kupitia EA Radio utaisikia kwa mara ya first!!!
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,