.

Thursday, July 8, 2010

CHAMELEONE NA BEENIE MAN WATOA NGOMA!

Jose Chameleone toka Uganda na King Of DanceHall,Beenie Man "mjukuu wa Baba T" toka Jamaica wametoa ngoma kali iitwayo..."How We Go" wakiwa wamempa shavu Jacky toka Blu 3.

Chameleone na Jacky walitupia ma-vocco Dreams Studio-nchini Uganda na kuyapeleka Jamaica na Beenie Man kumalizia mpango mzina na mzigo kwa sasa inapata shavu la kutosha kwenye redio nchini Uganda......................na kupitia EA Radio utaisikia kwa mara ya first!!!

No comments:

Post a Comment

,