.

Wednesday, July 7, 2010

DUH...REGGAE INAPOKUTANA NA BOLINGO!!!

Mkali toka Kenya,Wyre amepiga collabo na Mwanamuziki Mkali wa KwasaKwasa toka Congo DRC,Kanda Bongo Man.
Wyre na Bongoman walikutana nchini Sudan kwenye tamasha la Miss Malaika na Bongo Man kuzimia show ya Wyre na kumuomba wapige collabo...Wyre ameshapeleka "Vocal" zake nchini London kwa Producer wa Kanda Bongo Man na tunasubiri mating'a yawe tayari ili mpango mzima uwekwe hadharani...Duh reggae inapokutana na bolingo!!!

No comments:

Post a Comment

,