.

Monday, July 12, 2010

WAHU NAE ALA BATA KWA OBAMA



Shemeji yetu kwa Nameless,Mwanamuziki Wahu toka Kenya yuko kwenye tour nchini Marekani.
Si unakumbuka mipini ya Sweet Love na Running Low?...hapo juu wana wakilishwa bata mjini Kansas na atakua huko kwa wiki tatu..!

No comments:

Post a Comment

,