.

Thursday, July 1, 2010

SUGU KUGOMBEA UBUNGE!

Kalapina-Udiwani,Kinondoni-CUF

Nakaaya-Ubunge,Arusha-CHADEMA

Sugu-Ubunge,Mbeya Mjini-CHADEMA

Mkongwe wa Hip Hop Tanzania,Joseph Mbilinyi AKA Sugu ambaye amejinga na CHADEMA hivi karibuni,ametangaza nia yake ya kugombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA,jimbo la Mbeya mjini.


Kwa sasa Mheshimiwa mtarajiwa yuko Mkoani Mbeya akiwa kwenye mchakato wa kurudisha fomu baada ya kupata ridhaa ya chama chake...Sugu anaungana na wasanii wengine toka Tanzania kama Kalama Masoud AKA Kalapina anatakayegombea Udiwani jimbo la Kinondoni-DSM kupitia chama cha CUF,na Nakaaya Sumary aliyetangaza nia ya kugombea Ubunge mkoani Arusha kwa tiketi ya CHADEMA...Hatutauza kura zetu....ila Kila la Kheri waheshimiwa watarajiwa!

No comments:

Post a Comment

,