.

Saturday, July 24, 2010

MWANA ADAI KAIBIWA BEAT YA "USIJE MJINI"

Mchizi anajulikana kama Nazir Ally AKA Naz D (shati jekundu) toka pande za Zenji ameibuka na kudai kuwa Beat ya Usije Mjini ambayo wana AY & FA wametia mavocco humo ndani ni mali yake na aliinyonga Producer Pancho na Pancho ameitoa bila ridhaa yake,na yeye kudai kua haina kwere ila yeye nae atatoa ngoma kwa beat hiyo hiyo.....na atakuja mjini na track yake!!!

2 comments:

  1. huyo dogo hana jipya
    coz wengi walikuja na swaga kama zake
    likin wapo kapuni
    thats y Afande alisema si lazima wote tuwe mc..,

    Big Up tu bbbb binamu & Ambwene y,

    ReplyDelete
  2. heeee jaman huyo c wa pangan? kwao pangan bana cyo zenji alah sasa kama kaibiwa anatake?

    ReplyDelete

,