.

Tuesday, July 13, 2010

PWEZA ATUNUKIWA KOMBE LA DUNIA

Pweza aliyejipatia umaarufu duniani kwa kutabiri "mia" mechi za kombe la dunia 2010,Paul ametunukiwa kombe la dunia na mmiliki wake anasema kwa sasa amestaafu utabiri na anakula bata tu....kwenda mbeeeeleeee!

No comments:

Post a Comment

,