.

Sunday, March 14, 2010

RM Barber Shop

Ni Saloon ya kisasa yenye vyombo vya kisasa na huduma bora kwa wateja wake.
-Scrub
-Magic
-Super Black
-Wave
-Mask
-Facial
-Manicure
-Pedicure
-Steam
Ipo Barabara ya long bagamoyo road Mbezi Beach ukifika daraja la kawe kwenye Round about inayokata kushoto basi kuelekea kawe unaiyacha unanyoosha moja kwa moja zamani ilikuwa barabara ya vumbi kwa sasa ina lami

No comments:

Post a Comment

,