.

Monday, March 15, 2010

HIKI NI KICHWA KIPYA KATIKA MUZIKI WA HIP HOP.

Ni Herieth binti mdogo sana katika muziki huu wa hip hop hapa bongo. Ambaye anaamini anauwezo mkubwa sana wa kuchana lakini bado hajapatiwa nafasi ya kuonyesha uwezo wake na ndio mana MPANGO MZIMA imempa hili shavu la kuwepo hapa leo.

Ngoma yake ya kwanza alifanya na Linex inaitwa
wanapo sikia ni moja kati ya ngoma ambazo ameonyesha uwezo mzuri sana, lakini kwa sasa yupo katika harakati za kushusha mkwaju mwingine mpya unaitwa "PUT YA GUNZ DOWN". Sikiliza Planet Bongo jumamosi kuanzia saa nne asubuhi East Africa Radio.

No comments:

Post a Comment

,