Ni Herieth binti mdogo sana katika muziki huu wa hip hop hapa bongo. Ambaye anaamini anauwezo mkubwa sana wa kuchana lakini bado hajapatiwa nafasi ya kuonyesha uwezo wake na ndio mana MPANGO MZIMA imempa hili shavu la kuwepo hapa leo.
Ngoma yake ya kwanza alifanya na Linex inaitwa wanapo sikia ni moja kati ya ngoma ambazo ameonyesha uwezo mzuri sana, lakini kwa sasa yupo katika harakati za kushusha mkwaju mwingine mpya unaitwa "PUT YA GUNZ DOWN". Sikiliza Planet Bongo jumamosi kuanzia saa nne asubuhi East Africa Radio.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment
,