Dah... Madee kwa sasa yupo kwenye wakati mgumu sana baada ya mpenzi wake kipenzi Pendo kufariki katika ajali ya gari iliyo tokea jana dodoma.
Pendo alikuwa anatoka dar kwenda dom kwa ajili ya kuendelea na masomo lakini kwa mipango ya mungu ndio haya yametokea, kwa sasa mwili wa marehemu upo hospitali ya Tumbi, nitakufahamisha zaidi baadaye kidogo
.
Picha hii nimeitoa kwa anko michuzi ni taswira ya hiyo ajali.
TBS YAWATAKA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI KUSAJILI BIDHAA HIZO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wafanyabishara wa bidhaa za
vipodozi kuhakikisha wanasajili bidhaa zao , kuthi...
1 hour ago
dah! jamani inapain sana, inasikitisha sana mnaagana na kila mmoja anatawanyika halafu baadaye unapata taarifa ya msiba hasa kwa mtu muhimu kama ilivyokuwa kwa madee. no way out alichopanga mungu binadamu huwezi kukipangua. POLE SANA MADEE.
ReplyDeleteHey Dulla..mzima!
ReplyDeleteNimecheki sehemu ya kukutumia email siioni...Ok hebu chukua hii;info@angaliabongo.co.tz unitumie email niweze kupata email yako na piaaaa......namba yako ya kiganjani...sawa?!
Halafu acha uvivu..hebu update bana!
Sarah
pole sana ndugu yetu madee,ulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi.tupo pamoja nawe ktk kipindi hiki kigumu.
ReplyDelete