Baba mzazi wa mwanamuziki wa hip hop bongo, Quick Racka amefariki dunia jana usiku majira ya sanne kasoro katika hospitali ya TMJ ambapo alikuwa amelazwa hapo.
Kwa maelezo ya Quick anasema mzee wake Charlse Mbanda alikuwa anasumbuliwa na presha ya kushuka na ilibidi kupelekwa katika hospitali ya TMJ kwa ajili ya matibabu zaidi na ndipo mauti yalipo mfika.
Msiba upo mbezi ambapo ndugu watakuwa hapo kwa ajili ya kuomboleza na mazishi ya mzee wetu mpendwa yatakuwa siku ya jomamosi. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONIO AMIN.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment
,