Leo ndio siku ambayo mtu mzima KIDUM atakinukisha pande za sinza katika club ya Sunn Cirro. Usiku wa leo utakamilika pale kwa kukutana na watu tofauti kutoka sehemu mbali mbali katika jiji hili la Bongo kingilio ni 15,000 kwa upande wa chini wa kawaida na 20,000 kwa upande wa pili wa V.I.P.
Leo asubuhi alikuja mzigoni kwa ajili ya kuongea na raia wa Africa Mashariki kuhusu show ya leo.
Hapa alikuwa anaongea na wana africa mashariki kupitia EATV leo asubuhi.
Hilo linaitwa gwala linawahusu wale wote amabo tutakutana paleeee... pande za sinza sunn cirro club.
Na ukafika wakati wa kuongea na wana africa mashariki kupitia East frica radio leo asubuhi.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,