Baada ya kufanyika usaili wa kutafuta vichwa ambavyo vita kamua katika kipindi cha Ze Comedy sasa mpango mzima utauona kupitia Tv yako ya kijanja EATV.
Utapata kuona mchakato mzima jinsi ulivyo na utafahamu ni kwa jinsi gani watu hao watapatikana. Huu ndio wakati wa kukamilisha ndoto ya kuwa mchekeshaji hapa bongo si unajuwa vipaji vinaanzia hapa EATV na kusambaa kwingine.....??? hilo halina ubishi.
Ni Alhamis hii saa moja kamili jioni EATV pekee...
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment
,