.

Saturday, March 13, 2010

BAADA YA KUTOKA MUHIMBILI SAFARI ILIKUWA STUDIO KWA MANEKE.

Ilifika zam ya k-sher kutoa hisia zake kwenye mic.

Dhumuni kubwa la kwenda kwa maneke ni kutengeza wimbo kwa ajili ya huu msiba na wimbo huo alifanya K - Sher, Hussein Mchozi pamoja, Tunda Man na mimi mwenyewe dazin kamaa nilihusika hivii.


Huyu ni Maneke producer ambaye ndiye aliyefanya hiyo kazi.

K-Sher na Maneke wakati wa kutengeneza wimbo huo.

Producer Maneke akitoa maelekezo jinsi ya kufanya

Tunda Man na Hussein Machozi wakiwa kwenye mazoezi mafupi kabla ya kuingiza sauti.

No comments:

Post a Comment

,