Ilifika zam ya k-sher kutoa hisia zake kwenye mic.
Dhumuni kubwa la kwenda kwa maneke ni kutengeza wimbo kwa ajili ya huu msiba na wimbo huo alifanya K - Sher, Hussein Mchozi pamoja, Tunda Man na mimi mwenyewe dazin kamaa nilihusika hivii.
Huyu ni Maneke producer ambaye ndiye aliyefanya hiyo kazi.
K-Sher na Maneke wakati wa kutengeneza wimbo huo.
Producer Maneke akitoa maelekezo jinsi ya kufanya
Tunda Man na Hussein Machozi wakiwa kwenye mazoezi mafupi kabla ya kuingiza sauti.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi
la Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uad...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
,