Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
Bridging the Gap: JAB to Partner with Bloggers Network on Training
-
*Tanzania Bloggers Network (TBN) Chairman Beda Msimbe (left) meets with the
Journalism Accreditation Board’s Acting Director General, Advocate Patrick
Ki...
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,