Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
MAKUMBUSHO YA TAIFA YAWANOA WASHIRIKI MISS WORLD TANZANIA 2026
-
Wataalam kutoka Makumbusho ya Taifa la Tanzania wametoa mafunzo ya
kizalendo kwa washiriki wa shindano la Urembo wa Dunia, Tanzania (Miss
World Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
,