Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
MAKUMBUSHO YA JIOPAKI, FURSA YA KUJIFUNZA HISTORIA YA SAYANSI NA MAZINGIRA.
-
Makumbusho ya kisasa ya Jiopaki ya Ngorongoro-Lengai (Urithi Geo Museum)
iliyoko Karatu Mkoani Arusha ni zao jipya la utalii ambapo pamoja na mambo
mengi...
22 minutes ago

No comments:
Post a Comment
,