Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,