Mchiz kutoka pande za kinondoni na pia ni kiongozi wa band ya Top Band Khalid Mohamed lakini sikio lako litakuwa limezoea jina la TID.
Amejitoa katika kushindania tunzo za Kili Music Awards katika upande wa Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa Band na sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kuwa mtu mzima anasema tunzo hizo hazimjengi.. Lakini kwa nyunyuziii.. zaidi kuhusu hili katiza pande za www.topbandtz.blogspot.com
MABARAZA YA USHINDANI,MASOKO YA MITAJI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Baraza la Masoko ya Mitaji linatarajia kuimarisha ushirikiano kwa
kubadilishana uzoefu katika usimamizi wa kesi, utatuzi wa migogoro na
matumizi ya tekno...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
,