Wikii hii kipindi cha Planet Bongo cha EATV kilipata nafasi ya kutembelea kwenye moja ya show inayofanywa na band mpya na ya kwanza ya hip hop hapa bongo, band inayo ongozwa na Chidy Benz, ukitaka kujuwa nini kinafanyika usikose kuangalia PLANET BONGO kila juma tano saa tatu kamili usiku EATV Pekee.
ANGELLAH KAIRUKI ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHAGUZI, AMANI NA DUA JIJINI DAR ES
SALAAM
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe.
Angellah Kairuki, ameshiriki katika Kongamano la Uchaguzi, Amani na Dua
lili...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment
,