Wikii hii kipindi cha Planet Bongo cha EATV kilipata nafasi ya kutembelea kwenye moja ya show inayofanywa na band mpya na ya kwanza ya hip hop hapa bongo, band inayo ongozwa na Chidy Benz, ukitaka kujuwa nini kinafanyika usikose kuangalia PLANET BONGO kila juma tano saa tatu kamili usiku EATV Pekee.
NAIBU WAZIRI KITANDULA AIPONGEZA TFS ,ATAKA IONGEZE UBUNIFU BIDHAA ZA NYUKI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Danstan Kitandula (Mb),
ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitih...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
,