.

Sunday, March 28, 2010

PLANET BONGO NA THE LAFAMILIA BAND.

Huyu mchiz ni mpiga dram kutoka the lafamilia band.. unamjuwaaaa...???

Wikii hii kipindi cha Planet Bongo cha EATV kilipata nafasi ya kutembelea kwenye moja ya show inayofanywa na band mpya na ya kwanza ya hip hop hapa bongo, band inayo ongozwa na Chidy Benz, ukitaka kujuwa nini kinafanyika usikose kuangalia PLANET BONGO kila juma tano saa tatu kamili usiku EATV Pekee.

Chid akiwa na wana kutoa EATV.

Huyu mchiz ni mpiga solo

The Lafamila Band mzigoni hapa ni Lamada Hotel.

Unamfahamu huyu...??? ni Dr. Kumpeneka yeye anaimba, anapiga dram na tumba pia kwa kifupi ni kifaa kingine kinachounda band hiyo.

Chid na Chiku Keto wakikamuwa.



Chek Planet Bbongo walivyo tega duuuh..

No comments:

Post a Comment

,