Wikii hii kipindi cha Planet Bongo cha EATV kilipata nafasi ya kutembelea kwenye moja ya show inayofanywa na band mpya na ya kwanza ya hip hop hapa bongo, band inayo ongozwa na Chidy Benz, ukitaka kujuwa nini kinafanyika usikose kuangalia PLANET BONGO kila juma tano saa tatu kamili usiku EATV Pekee.
MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya
Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo y...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment
,