.

Monday, March 22, 2010

MAKAMUZI YA KIDUM BONGO.

Hawa ndio walio sanukia mchongo huo na walifurahia mzigo ulio pigwa na Kidum.

Tofauti na Kidum pia kulikuwa na burudani kutoka kwa vijana wanao cheza.

Tawakal mzigoni.



duh... mashine begani... huyu jamaa anaitwa Tawakal ni mpiga picha wa EATV.

Kidum alikuwa na jumu moja tu.. la kuhakikisha raia wanafurahi na kwakweli alifanikiwa katika hilo.

Kidum akiwa kwenye stage na msanii wa muziki wa kizazi kipya Marlaw, pia Kidum amedhihirisha kuwa huyo ndio msanii anayemkubali.




Mchiz kamaa.. Carlos Santana jinsi alivyo miliki hilo gitaa.. ni moja kati ya wanao unda band ya kidum.

Dominic Nyalifa yupo na shabiki wake katika show ya Kidum Sun Cirro club.

Baada ya Kidum kumaliza zilidondoshwa kopo kutoka kwa ma dj wa East Africa Radio.

Hii ndio band ambayo Kidum anafanya nayo kazi.

Huyu ni shabiki wa kipindi cha Afro Beat ambacho ndio kilidhamini onyesho hilo la Kidum..

No comments:

Post a Comment

,