PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Monday, March 22, 2010
MAKAMUZI YA KIDUM BONGO.
Hawa ndio walio sanukia mchongo huo na walifurahia mzigo ulio pigwa na Kidum.
Tofauti na Kidum pia kulikuwa na burudani kutoka kwa vijana wanao cheza.
Tawakal mzigoni.
duh... mashine begani... huyu jamaa anaitwa Tawakal ni mpiga picha wa EATV.
Kidum alikuwa na jumu moja tu.. la kuhakikisha raia wanafurahi na kwakweli alifanikiwa katika hilo.
Kidum akiwa kwenye stage na msanii wa muziki wa kizazi kipya Marlaw, pia Kidum amedhihirisha kuwa huyo ndio msanii anayemkubali.
Mchiz kamaa.. Carlos Santana jinsi alivyo miliki hilo gitaa.. ni moja kati ya wanao unda band ya kidum.
Dominic Nyalifa yupo na shabiki wake katika show ya Kidum Sun Cirro club.
Baada ya Kidum kumaliza zilidondoshwa kopo kutoka kwa ma dj wa East Africa Radio.
Hii ndio band ambayo Kidum anafanya nayo kazi.
Huyu ni shabiki wa kipindi cha Afro Beat ambacho ndio kilidhamini onyesho hilo la Kidum..
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
No comments:
Post a Comment
,