Mchizi anajulikana kama Nazir Ally AKA Naz D (shati jekundu) toka pande za Zenji ameibuka na kudai kuwa Beat ya Usije Mjini ambayo wana AY & FA wametia mavocco humo ndani ni mali yake na aliinyonga Producer Pancho na Pancho ameitoa bila ridhaa yake,na yeye kudai kua haina kwere ila yeye nae atatoa ngoma kwa beat hiyo hiyo.....na atakuja mjini na track yake!!!
NEEC YAZINDUA PROGRAMA YA IMARISHA UCHUMI NA MAMA SAMIA MKOA WA MOROGORO
-
Na mwandishi wetu, morogoro
Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limezindua Program ya
Imarisha Uchumi na Mama Samia katika Mkoa wa Morogoro kw...
1 hour ago
huyo dogo hana jipya
ReplyDeletecoz wengi walikuja na swaga kama zake
likin wapo kapuni
thats y Afande alisema si lazima wote tuwe mc..,
Big Up tu bbbb binamu & Ambwene y,
heeee jaman huyo c wa pangan? kwao pangan bana cyo zenji alah sasa kama kaibiwa anatake?
ReplyDelete