.

Wednesday, June 30, 2010

HEAVY WEIGHT MC....KUPIGA SHOW KWA OBAMA!

Joseph Haule AKA Mwana wa msolopa gazi AKA Mti Mkavu AKA Mc shupavu AKA Heavy Weight MC AKA Mr red carpet AKA Mwanaharakati..(Mhh hiyo yangu) ...Mwezi huu anaanza Hip Hop Tour yake ya kimuziki nchini Marekani.

Na hii itakua ni tour yake ya kwanza kupiga kwa Obama tangu aanze game rasmi zaidi ya miaka 15 iliyopita,na ataanza kuwasha moto tarehe 4 July,Houston-Texas..wana wa kwa Obama watasikia live track kali za Hip Hop kuanzia Chemsha Bongo,Bongo-Dsm,Nikusaidiaje,Zali la mentali,Sauti ya Ghetto,Msilie na hits kibao....Hapo Vipi???..Hapo Sawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...............!

No comments:

Post a Comment

,