.

Wednesday, December 9, 2009

BAADA YA KUJITOA RACKAS MKWAJU UKAFATA..

Mchizi alikuwa ni kiongozi wa kundi la Rackas ambapoa kwa sasa hayupo tena. Moracka ameingia Fish Crub kwa Lamar kutengeneza pini yake baada ya kuachana na kundi lake, na kwa sasa mzigo upo tayari sikiliza East Afrika Radio juma mosi hii katika Planet Bongo saa 4 asubuhi hadi saa 6 mchana utapata nafasi ya kuisikia ngoma inaitwa SHE GAT IT.

No comments:

Post a Comment

,