Mchizi alikuwa ni kiongozi wa kundi la Rackas ambapoa kwa sasa hayupo tena. Moracka ameingia Fish Crub kwa Lamar kutengeneza pini yake baada ya kuachana na kundi lake, na kwa sasa mzigo upo tayari sikiliza East Afrika Radio juma mosi hii katika Planet Bongo saa 4 asubuhi hadi saa 6 mchana utapata nafasi ya kuisikia ngoma inaitwa SHE GAT IT.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,