Mchizi alikuwa ni kiongozi wa kundi la Rackas ambapoa kwa sasa hayupo tena. Moracka ameingia Fish Crub kwa Lamar kutengeneza pini yake baada ya kuachana na kundi lake, na kwa sasa mzigo upo tayari sikiliza East Afrika Radio juma mosi hii katika Planet Bongo saa 4 asubuhi hadi saa 6 mchana utapata nafasi ya kuisikia ngoma inaitwa SHE GAT IT.
MCHENGERWA AAHIDI KUONGEZA USHIRIKIANO NA TAMISEMI KWENYE AFYA, APEWA MAUA
YAKE AKIAGWA LEO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Waziri Mteule wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amemhakikishia Waziri
wa Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment
,