Edward Fatu kutoka visiwa vya Samoa almaarufu kwa jina la UMAGA ambaye ni bingwa wa zamani wa michuano ya mieleka amefariki dunia baada ya kupatwa na shinikizo la damu.
Inasemekana alishikwa na usingizi wakati akitazama televisheni Al-hamis usiku, alikutwa na mkewe masaa kadhaa baadaye akiwa hapumui huku damu zikimtoka puani na kuamua kumkimbiza katika hospitali ya jirani. Umaga amefariki akiwa na umri wa miaka 36.
Waziri Nape asisitiza azma ya Tanzania Kujizatiti katika Zama za Kidijitali
katika Kongamano la Connected Africa Summit 2024, Nairobi
-
Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa
Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa
Nape Nnauye, W...
36 minutes ago
kweli amefariki?
ReplyDeletenilikuwa nampenda sana katika mchezo wake wa mieleka.hasa napenda ile style yake ya kuwapiga watu mabuno.