Monday, December 7, 2009
CYRIL ATIMBA RASMI PANDE ZA TONGWE RECORDS..
Ni kijana mdogo sana ki umri hata umbo pia lakini ni mkubwa sana linapo kuja swala zima la rap, anaitwa Cyril mchizi nyota yake ilianza kung'ara katika mkwaju wake wa Nimerudi ambao ulikamilishwa na Producer Maneke.
Lakini Cyril kwa sasa ametimba rasmi kona za Tongwe Records kwa maana kwamba jamaa amesha sign mkataba chini ya studio hiyo pamoja na J Murder, sooo...!!!! acha 2one mzuka utakuwaje.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment
,