.

Thursday, December 24, 2009

NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA WADAU WOTE..!

Tumekuwa pamoja kwa kipindi chote kwenye Blog yangu ya Mpango Mzima kwenye Planet Bongo ya Radio na Tv na tumeweza kupeana saport kwa mambo mbali mbali.

Sasa tunaanza kusheherekea X- MASS na kuu karibisha mwaka mpya wa 2010, nawaahidi kuwa pamoja na nyie na kuundeleza kupeana taarifa na burudani mbali mbali zinazo husu muziki wetu wa Bongo Flav. NAWAPENDA  SANA NA SIKUU NJEMA.

No comments:

Post a Comment

,