Sasa tunaanza kusheherekea X- MASS na kuu karibisha mwaka mpya wa 2010, nawaahidi kuwa pamoja na nyie na kuundeleza kupeana taarifa na burudani mbali mbali zinazo husu muziki wetu wa Bongo Flav. NAWAPENDA SANA NA SIKUU NJEMA.
TANZANIA NA OMAN ZAIMARISHA USHIRIKIANO USIMAMIZI KUMBUKUMBU NA NYARAKA
KIDIJITALI
-
Na. Jawadu Kinyobwa – Dar es salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya
Chumba cha Kanzi Data, vifaa vya Teknolojia...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment
,