PLANET BONGO KILA JUMAMOSI SAA NNE ASUBUHI EAST AFRIKA RADIO NA KILA JUMA TANO SAA TATU KAMILI USIKU EATV.
KUWA MAKINI
TULIA NA MMOJA UNAYE MPENDA, ACHA NGONO ZEMBE
POWER JAMS
POWER JAMS,JUMATATU MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 10 ALASIRI EAST AFRICA RADIO.
MATING'A
DEEJAY AD a.k.a MAFUVU.
KUTANA NA DEEJAY AD KWENYE POWER JAM KILA J.3 NA ALHAMISI (1:00 - 4:00 pm), THE CRUISE J5 (8:00-9:00 pm), PLANET BONGO JUMAMOSI (10:00 - 12:00 pm) & FNL. NDANI YA EAST AFRICA RADIO & TV, TING'A KALI NAMBA MOJA KWA VIJANA
...BATA NITE!!!
SAUZ...2010!!!
Thursday, December 10, 2009
UCKU WA PWAA MOVENPICK..
Kutunza pia ilikuwepo ukihisi burudani imekuhusu basiiii mpango mzima..
Pia kulikuwa na nafasi ya kusikiliza ngoma zilizomo kwenye albam yake..
Huyu ni Luch Producer ambaye anafanya kazi na Cpwaaa.. alipata na fasi ya kupiga domo kidogo.
Huyu ni mama yke Cpwaa naye alikuwepo kumpa taf mtoto wake.
Jamani eeeh...!!! huyu ndio bi mkubwa kama mlikuwa hamjui ndio hivyo sasa.
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa CPWAA, AMBAE PANDE ZA MBEYA ALIKUWA ANAJULIKANA KAMA CLAZY POWER. NI KWAMBA MI BINAFSI NAMFAHAMU KITAMBO TOKA ENZI ZA MBEYA DAY SEC. KWA MAANA HIYO BASI NAMTAKIA MAFANIKIO SANA KWENYE GAME. NA PIA WADAU KAMA EATV MUENDELEE KUSAPOTI SANAA NA WASANII ILI WAWE JUUUUU ZAAAAAAAAAAAAAAIIDII.
NI WEWE KAMPENI, MAENEO YA ITUNUNDU PAWAGA JANA
-
Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu
kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme ...
HARD PRICE COMING SOON
-
* Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa
kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila
nisinge...
Hey wadau!
ReplyDeleteNapenda kutoa pongezi za dhati kwa CPWAA, AMBAE PANDE ZA MBEYA ALIKUWA ANAJULIKANA KAMA CLAZY POWER.
NI KWAMBA MI BINAFSI NAMFAHAMU KITAMBO TOKA ENZI ZA MBEYA DAY SEC. KWA MAANA HIYO BASI NAMTAKIA MAFANIKIO SANA KWENYE GAME.
NA PIA WADAU KAMA EATV MUENDELEE KUSAPOTI SANAA NA WASANII ILI WAWE JUUUUU ZAAAAAAAAAAAAAAIIDII.
BIG UP DULLAH
N WA KINO
mzuka sana kaka nia nikuuwezesha muziki wetu uwende mbali zaidi..
ReplyDelete