Kuna kila sababu ya kulifanya hili ni kukaa nao pamoja ili wasijisikie upweke na wajihisi kuwa wote ni watoto wa baba mmoja, hilo ndio dhumuni kubwa lakufanya tamasha ambalo litawahusisha watoto yatima wote lakini watakutanishwa sehemu moja tu ni katika kituo cha Help Ophrarn Tanzania.
Tamasha hili limeandaliwa na kipindi cha Bongo Movies kinachorusha EATV na mratibu wa tamasha hili ni Joyce Kiria na litafanyika januari mosi pia watoto hao watapata nafasi ya kukutana na mastaa mbali mbali wa movies pamoja na Bongo Flava.
KANALI MTAMBI NA MKAKATI WA KUKOMESHA UVAMIZI MGODI WA NORTH MARA
-
Na Mwandishi wetu.
SERIKALI mkoani Mara ipo katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa
mkakati mahsusi wa kukomesha matukio ya uvamizi wa mgodi wa Nor...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,