.

Monday, December 14, 2009

BOBI WINE ACHOMEWA MOTO HOTEL YAKE.

Msanii nyota Bobi wine inasemekana amepoteza mamilioni ya fedha baada ya watu wasio julikana kumchomea hotel yake ambayo anatarajia kuizinduwa mwishoni mwa mwaka huu jijini kampala.

Watu hao walimuharibia baadhi ya maeneo ya hotel yake hiyo na pia kufanikiwa kuchoma sehemu ya kuuzia vinywaji aliyoipa jina la 'Kassim Ouma'.

No comments:

Post a Comment

,