Msanii nyota Bobi wine inasemekana amepoteza mamilioni ya fedha baada ya watu wasio julikana kumchomea hotel yake ambayo anatarajia kuizinduwa mwishoni mwa mwaka huu jijini kampala.
Watu hao walimuharibia baadhi ya maeneo ya hotel yake hiyo na pia kufanikiwa kuchoma sehemu ya kuuzia vinywaji aliyoipa jina la 'Kassim Ouma'.
Parimatch yazindua promosheni ya Twenzetu Dubai, Zaylissa, Kiredio waula
-
Na Mwandishi wetu.
Mashabiki wa soka, tenisi, UFC, Kriketi, baseball na michezo mingine sawa
wanaweza kushinda tiketi ya kwenda Dubai kwa kubashiri na ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment
,