.

Wednesday, December 2, 2009

MPANGO WA ALBAM UNAZINGUWA.

Unaweza kumuita Abraham Kasembe na kama itakupa tabu basi tumia jina hili Dullayo, mchizi ambaye hivi karibuni alichomwa kisu kwenye mkono wake wa kushoto na watu wasio julikana wakati akitoka katika ukumbia wa starehe.

Mchizi amesema kwa sasa ataendelea kukomaa na single mpaka pale soko la muziki litakapo kaa sawa, Dullayo amesema sababu ya kufanaya hivyo ni kutokana na kutokupata kitu katika albam yake ya kwanza ya IMANI.

No comments:

Post a Comment

,