Unaweza kumuita Abraham Kasembe na kama itakupa tabu basi tumia jina hili Dullayo, mchizi ambaye hivi karibuni alichomwa kisu kwenye mkono wake wa kushoto na watu wasio julikana wakati akitoka katika ukumbia wa starehe.
Mchizi amesema kwa sasa ataendelea kukomaa na single mpaka pale soko la muziki litakapo kaa sawa, Dullayo amesema sababu ya kufanaya hivyo ni kutokana na kutokupata kitu katika albam yake ya kwanza ya IMANI.
Waziri Nape asisitiza azma ya Tanzania Kujizatiti katika Zama za Kidijitali
katika Kongamano la Connected Africa Summit 2024, Nairobi
-
Katika hotuba muhimu aliyoitia kwenye Jukwaa la Mawaziri wakati wa
Kongamano la Connected Africa 2024 unaofanyika Nairobi, Kenya, Mheshimiwa
Nape Nnauye, W...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
,